Tuesday, December 27, 2016

Hivi ndivyo ulivyokuwa mkutano mkuu wa chama cha wanahabari mkoa wa Mara

 MKUTANO mkuu wa mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari mkoa wa Mara(MRPC) umefanyika leo kwenye ukumbi wa bwalo la maafisa wa polisi mjini Musoma ambapo pamoja na mambo mengine yaliyojadiliwa kwenye mkutano huo ni pamoja na kuendeleza mahusiano baina ya Waandishi wa Habari na wadau huku ikitumia mkutano huo kutuma salamu za rambirambi kwa ndugu na familia ya mwahabari Mpoki Bukuku aliyefariki dunia hivi karibuni






















Read more »

Thursday, October 6, 2016

Hivi ndivyo Waandishi wanavyoendelea kujadili mambo yao jijini Mwanza


 
 
Rais wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini  Tanzania (UTPC), Deogratius Nsokolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (Union of Tanzania Press Club- UTPC) unaofanyika La Kairo Hotel Jijini Mwanza kwa siku mbili  kuanzia leo Oktoba 06,2016 na Oktoba 07,2016.

Mkutano huo wenye kauli mbiu ya "Viongozi Mustakabali wa Press Clubs Upo Mikononi Mwenu"unajadili masuala mbalimbali ikiwemo Mpango Mkakati wa UTPC kwa mwaka 2016/20 uliofadhiliwa na Shirika la "The Swedish International Development Cooperation Agency (SIDA)"
Viongozi wa UTPC wakiwa kwenye mkutano huo ambapo kutoka kulia ni Mkurugenzi wa UTPC, Abubakar Karsan, Rais wa UTPC, Deogratius Nsokolo, Makamu wa Rais wa UTPC, Jane Mihanji na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili UTPC Abdallah Mfaume
Wajumbe wa bodi, UTPC, wakiwa kwenye mkutano huo
Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kulia) akiwa na wajumbe wengine kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kushoto) akiwa na wajumbe wengine kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC.Kulia ni mwenyekiti wa Katavi Press Club,Walter Mguluchuma
Mweka Hazina Mara Press Club akichangia jambo kwenye mkutano huo


Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC
Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC
Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC
Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC
Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC
Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kulia) akisalimiana na Rais wa UTPC, Deogratius Nsokolo (kushoto) kwenye mkutano huo
Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kulia) akisalimiana na Makamu wa Rais wa UTPC, Jane Mihanji (kushoto) kwenye mkutano huo
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoani Shinyanga, Kadama Malunde (kulia) akisalimiana na Rais wa UTPC, Deogratius Nsokolo (kushoto).

*****************************************


Waandishi wa Habari nchini wametakiwa kuusoma na kuuelewa vyema mswada sheria ya huduma ya vyombo
vya habari 2016, uliowasilishwa na Serikali bungeni mjini Dodoma, kwa ajili ya kutoa maoni yao juu ya mswada huo.

Rai hiyo imetolewa na Rais wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC Deo Nsokolo,
  wenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano huo, unaofanyika kwa siku mbili Jijini Mwanza kuanzia leo.
 
Nsokolo amesema tayari kamati ya bunge imekwisha kabidhiwa mswada huo kwa ajili ya kukusanya maon hivyo ni vyema waandishi wa habari ambao wanaguswa moja kwa moja
na mswada huo, wakausoma kiundani na kisha kutoa maoni yao kabla ya kuwasilishwa bungeni ili kuidhinishwa.

Akiwasilisha mswada huo katika bunge lililopita, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, alisema ikiwa mswada huo utapitishwa na bunge kuwa sheria,
utasaidia kuleta mageuzi makubwa ya kitaaluma kwa wanahabari pamoja na huduma za vyombo vya habari nchini.

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
SHUKRANI KWA GEORGE BINAGI WA BINAGI GROUP NA KADAMA MALUNDE WA MALUNDE 1 BLOG KWA PICHA NA TAARIFA KUTOKA KWENYE MKUTANO

Read more »

Monday, April 18, 2016

RC' Mulongo akutana na viongozi wa vyama vya siasa mkoani Mara

MKUU wa mkoa wa Mara,Magesa Mulongo,leo amekutana na viongozi kutoka vyama vya siasa mbalimbali ikiwa ni muendelezo wa kukutana na viongozi wa makundi mbalimbali kwaajili ya kukutana na kuweza kuzungumzia masuala kadhaa yakiwemo ya kusukuma kasi ya maendeleo ya mkoa.

 RC' Mulongo akisisitiza jambo kwa viongozi wa vyama vya siasa
 Wanasiasa wakifatilia
 Mulongo akifatilia kwa makini
 Kamanda wa polisi mkoa wa Mara,Ramadhani Ng'anzi,akizungumza kwenye kikao cha viongozi wa vyama vya siasa na mkuu wa mkoa

 Katibu wa chama cha (ACT) mkoa wa Mara,David Katikilo,akizungumza na Azam Tv mara baadaa kumalizika kwa kikao

Read more »

Saturday, April 9, 2016

Mulongo amaliza ziara Rorya na Tarime kwa kutoa maagizo mazito,leo kuanza Serengeti


 MKUU wa mkoa wa Mara,Magesa Mulongo,amemaliza ziara yake katika wilaya ya Tarime na Rorya kwa kutoa maagizo mazito kwenye wilaya ya Rorya kukalisha miradi iliyokwama kwenye utekelezaji wake ikiwemo kukamilisha mara moja kuvuta umeme na maji kwenye jengo la upasuaji la kituo cha afya kilichopo Kijiji cha Kinesi ili wananchi waweze kupewa huduma stahili za afya.
 Mkuu wa mkoa akimsikiliza mwanchi wa Kijiji cha Gibaso wilayani Rorya akielezea matatizo ya maji
 Wananchi wakiendelea kusikilizwa
 Hapa ni Kijiji cha Masanga akiwasikiliza wananchi waliotoa jengo lao kwajili ya kufanya kituo cha polisi ili kujilinda na masula ya kiusalama
 Umakini kuwasikiliza wananchi wa Masanga
 Mulongo kulia akimsikiliza mkuu wa wilaya ya Tarime,Gratius Luoga
 Wananchi wengi wakimsikiliza Mulongo

 Maelekezo yakiendelea kutolewa
 Hapa ni Ingili juu wilayani Rorya wananchi wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Mara

 Hapa ni kwenye mpaka kati ya Tanzania na Kenya eneo la Rorya Afisa Uhamiaji akitoa maelezo kuhusiana na maelewano yaliyopo mpakani hapo
 Licha ya mabango kusomeka kwenye viwanja vya Obwere Shirati mkuu wa mkoa alizungumza na wananchi wakaelewa na kutoa maagizo
 Baadae alimalizia ziara yake Kijiji cha Kinesi kwa kutoa maagizo kwa uongozi wa Wilaya ya Rorya kuhakikisha ndani ya wiki 2 Jengo la upasuaji wa kituo cha afya Kinesi linaanza kufanya kazi ya kuwahudumia wananchi
 Mulongo akiwasikiliza wahudumu wa afya nje ya jengo la upasuaji kabla ya kuzungumza na wananchi

Read more »