Saturday, May 20, 2017

RC"Mlingwa awapongeza Waandishi wa mkoa wa Mara kwa kuutangaza vizuri mkoa

MKUU wa mkoa wa Mara,Dk.Charles Mlingwa,amewaponhgeza Waandishi wa Habari wa mkoa kwa ushirikiano wao wa karibu katika kuutangaza mkoa hususani katika fursa mbalimbali za uwekezaji likiwemo suala la viwanda ambapo kwa kusisitiza hilo katika maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari wamekuja na kauli mbiu isemayo""Sasa ni wakati wa Habari za uwekezaji katika Viwanda Mara" na kuguswa na kazi inayofanya Club ya Waandishi wa Habari mkoa wa Mara na kuamua kuichangia shilingi laki tano.
 Meneja Uhusiano wa mgodi wa Acacia North Mara,Saimon Sanga,akizungumza namna mgodi huo unavyoshirikiana na Waandishi wa Habari ambapo pia walichangia kufanikisha maadhimisho hayo kufanyika vizuri zaidi

 Wanahabari wakifatilia maadhimisho hayo
 Mwenyekiti wa Mara Press Club(Mugini Jacob(kushoto)akiwa na mkuu wa mkoa wa Mara,Dk.Charles Mlingwa 
 Mwenyekiti akitoa taarifa ya Chama
 Mwahabari George Marato(kulia) akibadilishana jambo na Katibu wa chama cha ACT-Wazalendo mkoa wa Mara,David Katikiro,kwenye maadhimisho hayo

Meneja wa Sido mkoa wa Mara,akizungumzia masuala ya viwanda kwenye maadhimisho hayo

 Mwenyekiti wa TCCIA mkoa wa Mara,Boniphace Ndengo pia alipata fursa ya kuzungumza kwenye maadhimisho hayo
 Kutoka mfuko wa PSPF-Meneja wa mkoa wa Mara,Deogratius Njuu,pia alizungumza na wanahabari na wadau waliohudhuria
 Mwakilishi wa Azam Tv mkoa wa Mara,Augustine Mgendi,alitoa mawazo yake kwa viongozi wa serikali namna ya kuhakikishiwa ulinzi kwa Waandishi wa Habari
 Mmoja wa Waandishi waliofanikiwa na kupata tuzo mbalimbali,Dinna Maningo,akizungumza namna anavyofanikiwa kwenye kazi zake za uandishi
Mkuu wa Wilaya ya Musoma,Dk.Vicent Naano,pia alizungumza na Wanahabari kwenye maadhimisho hayo
 msisitizo kutoka kwa mkuu wa mkoa
 Picha ya pamoja ya Waandishi wa Habari wa mkoa wa Mara
 Picha na wadau waliohudhuria maadhimisho hayo
Picha viongozi wa kamati ya utendaji ya Mara Press Club
 Waandishi wakipata kumbukumbu
Masuala ya msosi pia yalihusika

Read more »

Tuesday, December 27, 2016

Hivi ndivyo ulivyokuwa mkutano mkuu wa chama cha wanahabari mkoa wa Mara

 MKUTANO mkuu wa mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari mkoa wa Mara(MRPC) umefanyika leo kwenye ukumbi wa bwalo la maafisa wa polisi mjini Musoma ambapo pamoja na mambo mengine yaliyojadiliwa kwenye mkutano huo ni pamoja na kuendeleza mahusiano baina ya Waandishi wa Habari na wadau huku ikitumia mkutano huo kutuma salamu za rambirambi kwa ndugu na familia ya mwahabari Mpoki Bukuku aliyefariki dunia hivi karibuni






















Read more »

Thursday, October 6, 2016

Hivi ndivyo Waandishi wanavyoendelea kujadili mambo yao jijini Mwanza


 
 
Rais wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini  Tanzania (UTPC), Deogratius Nsokolo, akifungua Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (Union of Tanzania Press Club- UTPC) unaofanyika La Kairo Hotel Jijini Mwanza kwa siku mbili  kuanzia leo Oktoba 06,2016 na Oktoba 07,2016.

Mkutano huo wenye kauli mbiu ya "Viongozi Mustakabali wa Press Clubs Upo Mikononi Mwenu"unajadili masuala mbalimbali ikiwemo Mpango Mkakati wa UTPC kwa mwaka 2016/20 uliofadhiliwa na Shirika la "The Swedish International Development Cooperation Agency (SIDA)"
Viongozi wa UTPC wakiwa kwenye mkutano huo ambapo kutoka kulia ni Mkurugenzi wa UTPC, Abubakar Karsan, Rais wa UTPC, Deogratius Nsokolo, Makamu wa Rais wa UTPC, Jane Mihanji na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili UTPC Abdallah Mfaume
Wajumbe wa bodi, UTPC, wakiwa kwenye mkutano huo
Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kulia) akiwa na wajumbe wengine kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kushoto) akiwa na wajumbe wengine kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC

Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC.Kulia ni mwenyekiti wa Katavi Press Club,Walter Mguluchuma
Mweka Hazina Mara Press Club akichangia jambo kwenye mkutano huo


Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC
Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC
Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC
Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC
Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC
Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kulia) akisalimiana na Rais wa UTPC, Deogratius Nsokolo (kushoto) kwenye mkutano huo
Mwenyekiti wa Mara Press Club, Mugini Jacob (kulia) akisalimiana na Makamu wa Rais wa UTPC, Jane Mihanji (kushoto) kwenye mkutano huo
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoani Shinyanga, Kadama Malunde (kulia) akisalimiana na Rais wa UTPC, Deogratius Nsokolo (kushoto).

*****************************************


Waandishi wa Habari nchini wametakiwa kuusoma na kuuelewa vyema mswada sheria ya huduma ya vyombo
vya habari 2016, uliowasilishwa na Serikali bungeni mjini Dodoma, kwa ajili ya kutoa maoni yao juu ya mswada huo.

Rai hiyo imetolewa na Rais wa Muungano wa Klabu za Waandishi wa Habari nchini UTPC Deo Nsokolo,
  wenye Mkutano Mkuu wa Wanachama wa Muungano huo, unaofanyika kwa siku mbili Jijini Mwanza kuanzia leo.
 
Nsokolo amesema tayari kamati ya bunge imekwisha kabidhiwa mswada huo kwa ajili ya kukusanya maon hivyo ni vyema waandishi wa habari ambao wanaguswa moja kwa moja
na mswada huo, wakausoma kiundani na kisha kutoa maoni yao kabla ya kuwasilishwa bungeni ili kuidhinishwa.

Akiwasilisha mswada huo katika bunge lililopita, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, alisema ikiwa mswada huo utapitishwa na bunge kuwa sheria,
utasaidia kuleta mageuzi makubwa ya kitaaluma kwa wanahabari pamoja na huduma za vyombo vya habari nchini.

,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
SHUKRANI KWA GEORGE BINAGI WA BINAGI GROUP NA KADAMA MALUNDE WA MALUNDE 1 BLOG KWA PICHA NA TAARIFA KUTOKA KWENYE MKUTANO

Read more »